Wednesday, 9 May 2012

Mambo 8 Usiyoyajua Kuhusu Mimi


  1. Ninalia sana nikiudhiwa, am not as tough as I look or act, nikishalia huwa napata ahueni rohoni
  2. I'm shy, nina aibu kiasi kwamba hata nikiwa na wageni wengi nyumbani kwangu nasikia aibu kusimama mbele yao na kuongea .
  3. I pray before cooking....thats how I learnt how to cook most dishes, nasali mapishi yasiharibike nikapata aibu
  4. I cant ride a biycle. Niliendesha nikiwa mtoto nilipoanguka sikurudia tena
  5. I'm a hopeless romantic, nikipenda napenda kichwa kichwa nikiumizwa naumia mara dufu
  6. I do a LOT of freaky things (sorry I wont mention!...and u can never guess it right poleeeee!!!!!!)
  7. Napenda watoto, isingekuwa hali ngumu ya uchumi ningezaa kila baada ya miaka 2
  8. If I can bribe my way into heaven, I would! I desperately want to see this God after I'm done playing out this script here ( thats in abt 70 yrs time si unajua siku za mwanadamu si nyingi?)


 
 
 

2 comments:

  1. Hhaaaahaa.sasa nimekujua what kind of a person you are?nilikua sikufahamu.

    ReplyDelete
  2. Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖

    Baada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.

    Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.

    Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️

    Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:

    Masuala ya uhusiano au ndoa

    Ugonjwa au magonjwa

    Matatizo ya utasa au bahati nasibu

    Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali

    Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.

    Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete