Monday, 28 November 2011

Nimepata "Beautician" wa nguvu ==>

Her name is Esther, my best friend aliyenifundisha kuitwa mama....!!! Yupo likizo so anapokuwa home tunapeana treatment, she wanted to do her hair so akaomba anifanyie kazi ili naye akatengeneze nywele zake na kununua na makorokoro yake (siyo mshahara jamani ila alikuwa ananihonga ili nimuongeze hela ya kununua vitu vyake ambavyo alijua asiponihonga ingekuwa ngumu kupata).

 
Mahitaji yake
  1. Asali
  2. Olive Oil
  3. Carrot
  4. Limao
  5. Pamba
  6. Face Towel

  
Carrot yake akaikwangua
 
 Kila kitu tayari anataka kuingia kibaruani sasa

Kaanza kwa kunisafisha na maji ya limao eti yeye anasema anaua vijidudu vyote
 
Kazi inaendelea na mdogo wake naye anachukua ujuzi hapo so next time atanifanyia yeye
 
Very busy (kama kweli vile) kaanza kuweka carrots anasema ni "carrotein scrub"
 

 
 I hope haitanifanya kama wale wanaonunua carolite haaa haaaa!!!


Nimeanza kuwa wa rangi ya carrot eeh???
 
Kaanza kunifuta hiyo carrotein scrub yake
 
Ikafuata awamu ya asali (natural honey)
 
Mwenyewe kaniambia eti asali it helps in healing eti ndio maana mtu akiungua anapaka asali (duh!!)
 
Akaona ile aliyopaka haitoshi akaanza kumwagia kwa wingi ili nipone haraka hizo alama za kifuani
 
Relaxing for 10 - 15 minutes na yeye pia akalala
 
Akahamia miguuni 
 
Apricot Scrub
 
Nilipata scrub ya nguvu kwa kweli dah!!
 
Mguu wa pili halafu anajitia busy kweli
 
Maji ya moto moto yenye chumvi, olive oil na asali kidogo (huu mchanganyiko sina uhakika nao)
 
Hee mtoto alidhamiria bwana alinisafishwa ukweli nikataka
 
Sugu sugu mpaka nikang'aa!!!
 
Yale maji yenye ingredients nyingi nadhani ndio yalinifanya nikang'aa zaidi
 
Massage ya asali ushawahi kufanyiwa???

 
Mpaka kwenye nyayo ni asali tu!!

 
Mwenyewe asema kama kuna dead skin au cracked basi ndio mwisho kwa massage hiyo ya asali

 
Akaitafuta Base coat

 
Top coat ipo wapi?

 
Dryer ili ikauke haraka

 
Rangi aliyoichagua sasa ndio hiyo

 
Kucha za mikono nazo hazikuachwa

 
Miguu inarembeshwa mwaya

 
Kama hujagundua alinitelekeza akaenda kujipa raha na yeye aliporudi kichwa kilikuwa kimekuwa alivyokuwa anataka kifananie this holiday haaa haaaa

 
Busy kweli kweli ananipaka rangi mwenyewe nami nimebweteka tu

 
Mikono ishapendeza

 
Miguu nayo? Imependeza

 
Akaona amalizie kwa kunimwagia olive oil

 
Na massage ingine ya "olive oil"


Thanks to Tansoma Hotel, yes huwa nachukua viatu nikiwekewa kwa room huko mahotelini

 
Hatimaye nikapiga mdundo wangu huyo tayari kwa safari yetu ya familia

 
The girl herself

 

 
She likes to be called Ezzie

 
Ezzie

 
The family... its not a color code family jamani it was just a coincidence huh!!

1 comment:

  1. nimeipenda hii, nitaijaribu, unafanya mara ngapi kwa wiki?

    ReplyDelete